Pages

Thursday, May 7, 2015

UTATA!!! KAMERA MANI ALIE SHOOT VIDEO YA ZENGWE NA MTATA WA KITAA AWAGUMZO MJINI BOFYA HAPA KUONA ALICHO KIFANYA!!!!

KAMERA MANI PAUL BONIFASE AKA SILENT KILLAR

 Unapo zungumzia makamera mani mjini Songea utapigwa kama huta mtaja PAUL BONIFASE aka SILENT KILLAR. Ni mmoja kati ya Makamera mani wanao fanya kazi nzuri katika Tansinia ya Film mkoani Ruvuma. Umaarufu wake umekuja mara baada ya  kushut filamu kazaa hapa mjini ikiwemo 1,Mtata wa kitaa 2,Zengwe 3,Urithi wa Ajabu. na hizi ni zile ambazo zimepata umaarufu na kuwa sokoni tukiachana na zile ambazo bado azija ingia sokoni.
Pia Camera mani mkubwa huyu licha yakua anakabiliwa na changamoto kuba ya vifaa. lakini amefanya vitu vikubwa vya kushangaza hata makamera mani wakubwa kuachwa midomo wazii. na hata kupata mialiko mbalimbali nje ya mji kama vile Mbeya, Njombe, Makambako, Dar-es-alaam na Iringa.


HIHI NI MOJA KATI YA KAZI ALIZO FANYA URITHI WA AJABU.

"Naipenda hii kazi na ndoto yangu sikumoja tanzania nzima ageuze macho na kutizma Mkoa wangu. Kwakua sikuzote mwanzo ni mgumu lakini nita kabiliana na changamoto ili kutimiza ndoto zangu namu ananiona." Hii ni kauli alio nipa wakati namuoji juu ya kazi anazo fanya mbazo ziko tofauti na mtazamo wake.
HII NAYO KAZI ILIYO TOKA MIKONONI MWAKE ZENGWE COMEDY

Anaamini kama akiwezeshwa ana weza kuamisha soko la movie dar kuja songea. lakini si peke yake bali wewe na mimi ndo tunao weza kumfikisha eneo frani la kubadili mtizamo.


NB;
Huu ni mwanzo wa kuinua sanaa ya mkoa wa Ruvuma ili sanaa ya Mkoa wa ruvma ikue inategemea sana Mawazo ya wasanii na wadau. Uzalendo una anzia kupenda kwanza cha nyumbani. by Mathayo Mzalendo


KMA UNAMAONI AU USHAURI TAFADHARI COMENTI HAPO CHINI

No comments:

Post a Comment