1
MR & MRS SIDNEY MWAKAJIRA PEMBENI NI WASINDIKIZAJI WAO
Walifikia uamuzi huo bila kuimizwa na mtu ni kwa mapenzi tu ya dhati na si kuchezeana kisha kupotezeana muda. Tukio hili lili wafungua baadhi ya wasanii masikio na kuhisi walichelewa kufanya maamuzi kama ya wawili hao na wengi wao wali ahidi kufanya kama Sidney. Siku hii ilikua ya furaha sana kwa wawili hao na wazazi wa pande mbili tofauti.
2
MRS. SIDNEY BI NUSURATH AKIWA NA MSIMAMIZI WAKE WAKIWASILI UKUMBINI.
Mwandishi alipata bahati ya kuzungumza na Bbi Harusi naye alikua na haya ya kusema. "Nina furaha sana kwa siku yaleo maana ni ndoto ambayo nilikua naiota kila siku kuolewa na mwanaume ninaye mpenda kwa maisha yangu labda mungu atutenganishe. lakini pia kuolewa bahati Baba so namshukuru sana mungu kwa kunipa Mwanaume wa maisha yangu" Alimaliza kwa kusema hivyo huku akiwa ana furaha sana!
3
MATHAYO MANASE MZALENDO & BWANA HARUSI
"Nimeamamua kuchukua uamuzi huu wa kufunga ndoa Kwasababu kuu tatu 1.Nampenda sana mke wangu na ndio maana naamua kuthibitiha hili 2.Naitaji kutulia na kuepuka michepuko maana magonjwa mengi siku hizi 3.Nimechoka kumdhini sasa nataka kuhalalisha mbele za Mungu mwenyezi aliye juu mbinguni." Alisikika Bwana Sidney Mwakajira alipo kua akihojiwa na Mwandishi wa Mzalendo Blogspot. Alionekana kuwa kama mtuasye amini kailicho tokea.
4
MATRONI AKIMSAIDI BI HARUSI KUKATA KEKI
5
BIBI HARUSI AKIWA NA MATRONI WAKE
Ni siku ambayo ilikua na baraka na mungu kuonyesha alipokea ndoa yao akaiachia mvua. Tuungane mimi na wewe kuwaombea wawili hawa waoate kudumu katika maisha ya ndoa yao kwakuwa wanakwenda kuanzamaisha yenye changamoto. Mungu awabariki nawawe na maisha marefu yenye maisha meme na yenye furaha!
NB:
Huu ni mwanzo wa kuinua sanaa ya mkoa wa Ruvuma na wasanii wake ungana nasi kusaport hizi arakati ili sanaa ifike mbali mpaka nje ya mipaka. By Mathayo Mzalendo
KAMA UNA MAONI AU USHAURI TUANDIKIE APO CHINI KWENYE SEHEMU WALIO ANDIKA COMMENTI
No comments:
Post a Comment