Pages

Tuesday, May 12, 2015

HATARIIII!!!!!!! HEBU TIZAMA MAISHA HALISI YA STARIRIGI WA MOVIE YA MTATA WA KITAA AKA MR. NGUNGUTA!!! MHUUU!!

MTATA WA KITAA ni moja kati ya Film zilizo fanya vizuri hadi kufikia atua ya kuamsha ushindani katika swala zima la utoaji Filam.Hali hii ilipelekea kila mtu anataka atoe Film ili aonekane yupo juu zaidi ya mwenzake. Hapa namzungumzia gwiji la film mkoani Ruvuma aka Ngon Land Bwana MBARAKA CHAMA JAA aka MTATA aka CHAMA aka MR. NGUNGUTA. Jina lake limekua kwa kasi sana mara baada ya kuachia film yake ya kwanza katika kampuni ya Mchalo vidio Production. Film ambayo ilileta mapinduzi makubwa hapa mkoani hadi kufikia kila mtu kutaka kushoot na kutoa film
1

MTATA WA KITAA POSTAZ
Gwiji huyu ana takribani miaka kumi 10 ndani ya sanaa na ndomaana namwita Gwiji kwa kipindi hiki chote anahaki ya kufanya kanzi nzuri zaidi ya hii. Kuna Film nyingi ambazo amewai kushiliki nazi ni kama ifuatavyo
  1. Magic School
  2. Dangerouz Camp
  3. Zengwe Comedy
  4. Mtaat wa kitaa
  5. Urithi wa ajabu 

Hizi film zote kashiliki na kuzitendea haki na hasa katika film ya mtata wa kitaa ambayo adi imefanya watu wamuogope wakihisi kile alicho kiigiza ni chakweli na kina husu maisha yake. lakini kumbe ni tofauti na kilicho fanyika ni kazi ya uwasilishaji wa maisha harisi ya jamii kitaaramu jukwaani.

2
MTATA WA KITAA AKIWA OFISINI KWAKE

Ni wasanii wachache sana ambao wana jishughurisha na shughuri nyingine tofauti na sanaa. Nilipata tabu sana kupata MTATA, ilinigharimu miezi miwili kumpata na kufanya maojiano naaye na kwa baati nzuri tulifanyia mazungumzo ofisini kwake. kazi kubwa ya Mtata  akiwa nje ya sanaa ni Mchinjioni. Richa yakua anakipaji cha kuigiza na utangazi pia ni Mchinjaji muri wa Ng'ómbe.

3
MACHINJIONI AMBAKO MTATA HUFANYIA KAZ.

Naipenda sana sanaa na ninaamini sikumoja jamii itanielewa nakutambua kipaji changu. Namshukuru mungu kwa kua kazi yangu ya kwanza imepokelewa vizuri na mashabiki wangu na wasione kimya najaribu kutaka kufanya kitu tofauti ili wapate radha na kazinzuri kutoka kwa MTATA. Nataka nifanye kazi ambayo itakwenda kufunika habari ya Mtata Wa Kitaa. Mashabiki wangu wakae mkao wa kura maana nipo jikonii naandaa chakula cha Myoyo yao"Alimalia kusema hivyo Mtata mara baada mahojiano na alipo ulizwa mbona kimya muda mwingi umepita.

4
MTATA AKIWA KIBANDA CHA KUPATIA CHAKURA/MAMA NTILIE AKISUBILI MSOSI

5
MTATA AKIWA ANAKIMBIZA NG'MBE WA KUCHINJA.

6
DANGEROUS CAMP KASHILIKI MTATA

7
URITH WA AJABU MTATA KASHILIKI

8
ZENGWE COMEDY MATA KASHILIKI

Uzalendop huanza kwa kupenda vitu vya nyumbani. Wasanii wameamua kufanya kazi ya sanaa ili watengeneze ajira ambayo ita wapa kipato na wakaepukana na tabia hatarishi. Kazi kwako ewe mdau kuwasaport vijana wako.......!


NB:
Nia ni kuinua sanaa ya mokoa wa Ruvuma na wasanii wake na huu ni mwanzo wa harakati zake. tunahitaji kufika mbali kisanaa lakini saport kubwa tunaitoa kwako ewe mshabiki na mdau!

KAMA UNAPENDA KUSAPORT VYA NYUMBANI BASI TOA MCHANGO WAKO WA MAWAZO  KWA KUTUANDIKIA APO CHINI WALIPO ANDIKA "COMMENT"

No comments:

Post a Comment