Pages

Saturday, September 26, 2015

MATUKIO KATIKA PICHA.....! HICHI NDIO KILICHO JILI SIKU YA TAREHE 25/09/2015 SIKU YA UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA JACK DESIGNER UITWAO "BACK TO ME"

Usiku wa tarehe 25/9/2015 ulikua ni usiku wa kihistoria katia pande za kiota cha buru dani JAMBO LEE! Ni usiku ambao ili zinduliwa video ya Jack Designer ili fanya na Team Graphicx. watu walijaa sanan na waliitikia wito na wali fika kwa shangwe kubwa! wasanii nao wali shika mana na wali toa ushilikiano mkubwa kwa msanii mwenzao.

1.

 2.












  MAMAMZAZI AKITOA NASAHA KWA MWANAE














MAMA MLEZI WA WASANII WAIGIZAJI AKITOA NASAHA KWA NIABA YA WASANII WAIGIZAJI.

Saturday, September 12, 2015

Pakua Wimbo mpya wa Tayo Boy aka Mzalendo aka Baba Briani ft Ziddy Maya & Cammy Bwoy_R.I.P

Atimae ule wimbo ulio zua utata na hisia nyingi za watu. Waachiwa na kuwaliza wengi kwa kile kilicho daiwa ni ukweli wa kila tukio! Mungu aziwejke Roho za marehemu  Mahara pema peponi amina.

Wednesday, May 13, 2015

DOWLOAD NEW AUDIO MAX J FT SAMIR - KIDOGO (OFICIAL/TRACK MP4)

Tizama vijana wa mkoa wa Ruvuma walivyo na kipaji. Ni mala chache sana kuona msanii ana kubali uwezo wa chipikizi na hapa utaamini maneno yangu SAMIL KA KAA!

DOWNLOAD NEW AUDIO EDDY MC FT CAMMY BWAY _ MAMA (OFICIAL TRACK MP4)

Pakua wimbo mpya wa Eddy Mc ft Cammy Bway - Mama. ningoma ambayo imeibua hisia za dhati juu ya upendo wa mama. Ngon Land 4 Ever.

DAWNLOAD NEW AUDIO DK NER FT G LUCK - MISS RAPA (OFICIAL/AUDIO MP4)

Pakua wimbo mpya wa Dk ner ft G luck - Mss Rapa. Nibonge moja la ngoma linalo tikisa Pande izi pia katika vyombo vyo habari kwa kua No 1 katika Top Ten za Radio ya nyumbani.

DOWNLOAD NEW AUDIO FOBY ONE - HAFANANI NAO (OFICIAL AUDIO MP4)

Pakua wimbo mpya wa Foby O NE - Hafanani nao. msanii kutoka kusini mwa tanzania pande za Ngoni Land oaka Songea Town.

DOWNLOAD NEW AUDIO J BIZZO DESTNATION FT DK NER & ROBY SONGEA - NDIVYO ILIVY (OFISIAL AUDIO MP4)

DOWNLOAD NEW AUDIO NEW MAC FT BLLACK JR-MAGIC MAMA

Tuesday, May 12, 2015

HATARIIII!!!!!!! HEBU TIZAMA MAISHA HALISI YA STARIRIGI WA MOVIE YA MTATA WA KITAA AKA MR. NGUNGUTA!!! MHUUU!!

MTATA WA KITAA ni moja kati ya Film zilizo fanya vizuri hadi kufikia atua ya kuamsha ushindani katika swala zima la utoaji Filam.Hali hii ilipelekea kila mtu anataka atoe Film ili aonekane yupo juu zaidi ya mwenzake. Hapa namzungumzia gwiji la film mkoani Ruvuma aka Ngon Land Bwana MBARAKA CHAMA JAA aka MTATA aka CHAMA aka MR. NGUNGUTA. Jina lake limekua kwa kasi sana mara baada ya kuachia film yake ya kwanza katika kampuni ya Mchalo vidio Production. Film ambayo ilileta mapinduzi makubwa hapa mkoani hadi kufikia kila mtu kutaka kushoot na kutoa film
1

MTATA WA KITAA POSTAZ
Gwiji huyu ana takribani miaka kumi 10 ndani ya sanaa na ndomaana namwita Gwiji kwa kipindi hiki chote anahaki ya kufanya kanzi nzuri zaidi ya hii. Kuna Film nyingi ambazo amewai kushiliki nazi ni kama ifuatavyo
  1. Magic School
  2. Dangerouz Camp
  3. Zengwe Comedy
  4. Mtaat wa kitaa
  5. Urithi wa ajabu 

Hizi film zote kashiliki na kuzitendea haki na hasa katika film ya mtata wa kitaa ambayo adi imefanya watu wamuogope wakihisi kile alicho kiigiza ni chakweli na kina husu maisha yake. lakini kumbe ni tofauti na kilicho fanyika ni kazi ya uwasilishaji wa maisha harisi ya jamii kitaaramu jukwaani.

2
MTATA WA KITAA AKIWA OFISINI KWAKE

Ni wasanii wachache sana ambao wana jishughurisha na shughuri nyingine tofauti na sanaa. Nilipata tabu sana kupata MTATA, ilinigharimu miezi miwili kumpata na kufanya maojiano naaye na kwa baati nzuri tulifanyia mazungumzo ofisini kwake. kazi kubwa ya Mtata  akiwa nje ya sanaa ni Mchinjioni. Richa yakua anakipaji cha kuigiza na utangazi pia ni Mchinjaji muri wa Ng'ómbe.

3
MACHINJIONI AMBAKO MTATA HUFANYIA KAZ.

Naipenda sana sanaa na ninaamini sikumoja jamii itanielewa nakutambua kipaji changu. Namshukuru mungu kwa kua kazi yangu ya kwanza imepokelewa vizuri na mashabiki wangu na wasione kimya najaribu kutaka kufanya kitu tofauti ili wapate radha na kazinzuri kutoka kwa MTATA. Nataka nifanye kazi ambayo itakwenda kufunika habari ya Mtata Wa Kitaa. Mashabiki wangu wakae mkao wa kura maana nipo jikonii naandaa chakula cha Myoyo yao"Alimalia kusema hivyo Mtata mara baada mahojiano na alipo ulizwa mbona kimya muda mwingi umepita.

4
MTATA AKIWA KIBANDA CHA KUPATIA CHAKURA/MAMA NTILIE AKISUBILI MSOSI

5
MTATA AKIWA ANAKIMBIZA NG'MBE WA KUCHINJA.

6
DANGEROUS CAMP KASHILIKI MTATA

7
URITH WA AJABU MTATA KASHILIKI

8
ZENGWE COMEDY MATA KASHILIKI

Uzalendop huanza kwa kupenda vitu vya nyumbani. Wasanii wameamua kufanya kazi ya sanaa ili watengeneze ajira ambayo ita wapa kipato na wakaepukana na tabia hatarishi. Kazi kwako ewe mdau kuwasaport vijana wako.......!


NB:
Nia ni kuinua sanaa ya mokoa wa Ruvuma na wasanii wake na huu ni mwanzo wa harakati zake. tunahitaji kufika mbali kisanaa lakini saport kubwa tunaitoa kwako ewe mshabiki na mdau!

KAMA UNAPENDA KUSAPORT VYA NYUMBANI BASI TOA MCHANGO WAKO WA MAWAZO  KWA KUTUANDIKIA APO CHINI WALIPO ANDIKA "COMMENT"

Saturday, May 9, 2015

MPYAA!!! NDOA YA MSANII WA SONGEA MOVIE MR & MRS SIDNEY MWAKAJIRA YAWA GUMZO NI UTATA MTUPU!! ONA KILICHO JILI SIKU YA NDOWA!

Katika maisha kuna sherehe kuu tatu nazo ni kuzaliwa, kufunga ndoa na kufa. Hizi siku kuu tatu nilazima kama binadamu uzipitie na uzipe kipaumbere.Ijuma, ‎February ‎27, ‎2015, ‏‎3:33:40 PM . Ni siku ambayo haitakaa isaulike ni siku ambayo kwa mala ya kwanza kutokea na haikuwai kutokea kabla. Kwa upande wa wasnii wa mkoa wa Ruvuma. Ilikua kama siku ya utakaso kwani nisiku ambayo Kwa mala ya kwanzan Wasanii wawili kutoka katika pande za Ngoni Land na maanisha Ruvuma ambapo mmoja akitokea kundi la TAANISI arts Group (SIDNEY MWAKAJIRA aka PEPE) na mwingine kutoka WZALENDO arts Group (NUSRATH aka VICK) waliunganika na kua mwili mmoja nikimaanisha kufunga ndoa au pingu za Maisha.
1

MR & MRS SIDNEY MWAKAJIRA PEMBENI NI WASINDIKIZAJI WAO
Walifikia uamuzi huo bila kuimizwa na mtu ni kwa mapenzi tu ya dhati na si kuchezeana kisha kupotezeana muda. Tukio hili lili wafungua baadhi ya wasanii masikio na kuhisi walichelewa kufanya maamuzi kama ya wawili hao na wengi wao wali ahidi kufanya kama Sidney. Siku hii ilikua ya furaha sana kwa wawili hao na wazazi wa pande mbili tofauti.

2

MRS. SIDNEY BI NUSURATH AKIWA NA MSIMAMIZI WAKE WAKIWASILI UKUMBINI.
 Mwandishi alipata bahati ya kuzungumza na Bbi Harusi naye alikua na haya ya kusema. "Nina furaha sana kwa siku yaleo maana ni ndoto ambayo nilikua naiota kila siku kuolewa na mwanaume ninaye mpenda kwa maisha yangu labda mungu atutenganishe. lakini pia kuolewa bahati Baba so namshukuru sana mungu kwa kunipa Mwanaume wa maisha yangu" Alimaliza kwa kusema hivyo huku akiwa  ana furaha sana!

3

MATHAYO MANASE MZALENDO & BWANA HARUSI
"Nimeamamua kuchukua uamuzi huu wa kufunga ndoa Kwasababu kuu tatu 1.Nampenda sana mke wangu na ndio maana naamua kuthibitiha hili 2.Naitaji kutulia na kuepuka michepuko maana magonjwa mengi siku hizi 3.Nimechoka kumdhini sasa nataka kuhalalisha mbele za Mungu mwenyezi aliye juu mbinguni." Alisikika Bwana Sidney Mwakajira alipo kua akihojiwa na Mwandishi wa Mzalendo Blogspot. Alionekana kuwa kama mtuasye amini kailicho tokea. 

4

MATRONI AKIMSAIDI BI HARUSI KUKATA KEKI

5

BIBI HARUSI AKIWA NA MATRONI WAKE
Ni siku ambayo ilikua na baraka na mungu kuonyesha alipokea ndoa yao akaiachia mvua.  Tuungane mimi na wewe kuwaombea wawili hawa waoate kudumu katika maisha ya ndoa yao kwakuwa wanakwenda kuanzamaisha yenye changamoto. Mungu awabariki nawawe na maisha marefu yenye maisha meme na yenye furaha!

NB:
Huu ni mwanzo wa kuinua sanaa ya mkoa wa Ruvuma na wasanii wake ungana nasi kusaport hizi arakati ili sanaa ifike mbali mpaka nje ya mipaka. By Mathayo Mzalendo



KAMA UNA MAONI AU USHAURI TUANDIKIE APO CHINI KWENYE SEHEMU WALIO ANDIKA COMMENTI








Friday, May 8, 2015

KIMENUKA KUSINI!! FILAMU YA URITHI WA AJABU YA ZUA UTATA MKUBWA! WALIO IGIZWA WAJA JUU!! VERONICA HOFU TUPU!!!!!!

Mwanamke anaye kuja kasi katika Tansinia ya Film nchini akitokea pande za Ngon Land katika dimbwi la vipaji  hapa  nazungumzia Mkoani Ruvuma. Mwana mama huyu anaye julikana kwa jina la Veronica Gayo aka Veronica Mwana wa Gayo. Kwa sasa ameachia Filam yake inayo fahamika kwa jina la URITHI WA AJABU ni filamu inayo fanya vizuri mpaka sasa mkoani Ruvuma na kila anaye parta bahati ya kuitizama ana baki kinywa wazi kwa kuto amini uwezo ario uonyesha humo ndani.

1.
URITHI WA AJABU POSSTAZ
Kwa kile kilicho igizwa ndani kimekwenda kuakisi maisha ya watu fulani ambao wanaamini kati imani ya kishilikina hususani Uchawi. kwa habari za chini chini nikwamba wale walio hisi wameigizwa wao walianza kuinama na kuona sasa wamejulikani.
Hapa utaona jinsi wasanii wa Mkoa wa Ruvuma walivyo jipinda kuakikisha Ujumbe unafika swadacta kwa jamii husika.
2
VERONICA GAYO AKIWA NA CD ZA URITHI WA AJABU
"Kwa sasa nimeamua kujikita kwenye Tansinia ya Filamu watu wategemee vitu vizuri zaidi kutoka kwangu kwakua nina amini kuwa nina kipaji na nina mwamini Mwalimu wangu wasanaa anaye kuza kipaji changu Mathayo Mzalendo. Pia nimeona wanawake wengi wako nyuima kujikita katika huu upande lakini nina waambia mwaka huhu 50/50 na wanaume. namungu atanilinda"

3
HAMZA KASSIM AKA DOGO H & VERONICA GAYO

 4
MRIAMU CHABWELA & DYNES KADOPE WAKIMPA SAPOT MSANII MWENZAO KWA KUNUNUA COPY

5
NURDIN ASEDY NAYE ALIMMUNGISHA MSANII MWENZAKE CD

6


 7
MR NAYUNGI & VERONICA GAYO WAKIZUNGUSHA CD MTAANI.
Wangoni sasa tumeamua kutangaza kazi zetu wenyewe sasa ni nyumba kwa nyumba mpaka wajue.



NB:
Imefika hatua sasa wakazi wa Ruvuma  tuwe wazalendo kwa kununua kazi za nyumbani ili kutengeza hajira za watu walio kata tamaa. Huu ni mwanzo wa kuinua sanaa ya mkoa wa Ruvum.By Mathay Mzalendo

KAMA UNA MAONI NA USHAURI COMENT HAPO CHINI TAPHARI