Usiku wa tarehe 25/9/2015 ulikua ni usiku wa kihistoria katia pande za kiota cha buru dani JAMBO LEE! Ni usiku ambao ili zinduliwa video ya Jack Designer ili fanya na Team Graphicx. watu walijaa sanan na waliitikia wito na wali fika kwa shangwe kubwa! wasanii nao wali shika mana na wali toa ushilikiano mkubwa kwa msanii mwenzao.
1.
2.
MAMAMZAZI AKITOA NASAHA KWA MWANAE